FORUMCC TANZANIA
ForumCC – also known as the Tanzanian Civil Society Forum on Climate Change –is an association of civil society organisations committed to work on climate change in their own programmes as well as through advocacy. It brings together development and environment organizations, those with technical skills and those with a more delivery and advocacy focus.
Search This Blog
Picha Mbambali za Matukio ya Mkutano wa #COP20 Uliofanyika Lima, Peru
Asasi za Kiafrika zikishinikiza Mataifa mbalimbali kuunga mkono msimamo wa Africa kwenye suala la INDC |
Eng Landslaus Kyaruzi na Tajiel Urioh, wote kutoka Tanzania wakiwa nje ya ukumbi kwa mazungumzo |
Hili ndilo lango la kuingia kwenye eneo la mkutano, Pichani ni Tajiel Urioh kutoka ForumCC |
Mkutano ulifanyika katika eneo linaloitwa SAN BORJA katika jiji la Lima |
Asubuhi baadhi ya Watanzania wakiingia kwenye eneo la mkutano |
Tajiel Urioh akiwa katika moja ya bustani za mji wa San Borja ambazo zimezunguka eneo la mkutano |
Hivi ndiyo Peru inavyoandikwa, Ni utambulisho wa utamaduni wao |
Tajiel Urioh na Bw Richard Muyungi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais |
Fazal Issa na Bw Richard Muyungi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais |
Banda la Oxfam wakiwa wanaonyesha baadhi ya mazao |
Fazal Issa akiwa na Rais wa COP20 Mh Manuel Pulgar Vidal |
Subscribe to:
Posts (Atom)